728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday, December 17, 2015

    KLABU BINGWA YA DUNIA:BARCA BILA MESSI YAWACHAPA WACHINA TATU MTUNGI NA KUTINGA FAINALI


    Yokohama,Japan.

    Klabu ya FC Barcelona imetinga fainali ya michuano kombe la vilabu bingwa duniani baada ya leo mchana kuifunga klabu ya Guangzhou
    Evergrande ya China kwa mabao 3-0 katika mchezo wa nusu fainali uliopigwa katika dimba la Yokohama.


    FC Barcelona ambayo leo haikuwa na nyota wake Lionel Messi anayesumbuliwa na maumivu ya tumbo imepata mabao yake dakika za 39' 50' 67' kupitia kwa mshambuliaji wake Louis Suarez.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: KLABU BINGWA YA DUNIA:BARCA BILA MESSI YAWACHAPA WACHINA TATU MTUNGI NA KUTINGA FAINALI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top