728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, December 20, 2015

    LA LIGA:REAL MADRID YAIFUMUA RAYO VALLECANO 10-2,BBC YAPIGA 9


    MADRID,HISPANIA

    Real Madrid imepata ushindi wa kihistoria baada ya jioni ya leo kuichabanga Rayo Vallecano kwa mabao 10-2 katika mchezo mkali wa ligi ya La Liga uliopigwa katika dimba la Santiago Bernabeu.

    Real Madrid ambayo wiki iliyopita ilikubali kichapo cha bao 1-0 toka kwa Villarreal leo ilionekana kuchangamka na kuonekana moto zaidi kwa Rayo Vallecano ikitumia washambuliaji wake mahiri wanaoitwaa BBC [Benzema,Bale na Ronaldo] ambao katika mchezo wa leo wamefunga jumla ya mabao 9.

    Gareth Bale amefunga mabao 4,Benzema 3,Ronaldo 2 na Danilo 1

     

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: LA LIGA:REAL MADRID YAIFUMUA RAYO VALLECANO 10-2,BBC YAPIGA 9 Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top