728x90 AdSpace

Sunday, December 20, 2015

LA LIGA:REAL MADRID YAIFUMUA RAYO VALLECANO 10-2,BBC YAPIGA 9


MADRID,HISPANIA

Real Madrid imepata ushindi wa kihistoria baada ya jioni ya leo kuichabanga Rayo Vallecano kwa mabao 10-2 katika mchezo mkali wa ligi ya La Liga uliopigwa katika dimba la Santiago Bernabeu.

Real Madrid ambayo wiki iliyopita ilikubali kichapo cha bao 1-0 toka kwa Villarreal leo ilionekana kuchangamka na kuonekana moto zaidi kwa Rayo Vallecano ikitumia washambuliaji wake mahiri wanaoitwaa BBC [Benzema,Bale na Ronaldo] ambao katika mchezo wa leo wamefunga jumla ya mabao 9.

Gareth Bale amefunga mabao 4,Benzema 3,Ronaldo 2 na Danilo 1

 

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: LA LIGA:REAL MADRID YAIFUMUA RAYO VALLECANO 10-2,BBC YAPIGA 9 Rating: 5 Reviewed By: Unknown