728x90 AdSpace

Monday, December 14, 2015

GARBA AFUZU VIPIMO YANGA


Winga toka Niger, Issoufou Boubacar Garba "Diego" amefuzu vipimo vya afya katika klabu ya Yanga.

Garba amefanyiwa vipimo hivyo leo jijini Dar es salaam na tayari kuna habari kuwa nyota huyo anayetumia mguu wa kushoto uwanjani atasaini mkataba wa miaka miwili akichukua nafasi ya Mbrazil Andre Coutinho aliyeachwa hivi karibuni.

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: GARBA AFUZU VIPIMO YANGA Rating: 5 Reviewed By: Unknown