728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday, December 24, 2015

    USAJILI DIRISHA DOGO:DANNY MRWANDA,TUMBA SWEDI WAKWAMA,DILUNGA,REDONDO WAPENYA


    A. USAJILI
    1. Kamati imepitisha usajili wa wachezaji walioombewa kwa vilabu vifuatavyo vya ligi
    kuu
    1. AZAM FC - mchezaji mmoja Ivo Philiph Mapunda (huru)
    2. COASTAL UNION - wachezaji watatu
    i. Omary Wayne Maunda-Mkopo toka Azam
    ii. Miraji Adam Seleman-mkopo toka Simba
    iii. Ramadhani Ali Thabit-huru
    3. MGAMBO SHOOTING
    i. Mudathir M. Khamis-Yanga
    ii. Nurdin Mkomeni-huru
    iii. Godson Mmasa-alikuwa mchezaji wa Mgambo, wameomba kumsajili tena
    4. MTIBWA SUGAR
    i. Alex Mwambisi-huru
    ii. Boniface Maganga-Mkopo kutoka Simba
    iii. Kelvin Iddi Friday-Mkopo kutoka Azam
    iv. Abdallah Said Makangana-alisahaulika
    usajili uliopita ni mchezaji anayendelea
    5. MWADUI SC
    i. Abdallah Mfuko-huru
    ii. Ismail Gambo-Mkopo kutoka Azam FC
    6. NDANDA SC
    i. Braison Raphael-Mkopo kutoka Azam
    ii. Jackson John Nkwera-Sinza Srtars
    7. MBEYA CITY
    i. Ramadhani Selemani Chombo-huru
    ii. Abdallah Salum Juma-Toto Africans
    iii. Deogratius Julius-Kagera Sugar
    8. TANZANIA PRISONS
    i. Baraka Majogoro-Wenda FC
    9. TOTO AFRICANS
    i. Shija Hassan Mkina-huru
    ii. Frank B Kimati-huru
    iii. Ladslaus Mbogo-huru
    iv. Yusuf Seleman Mpili-huru
    v. Maneno Steven Shaban-huru
    10. SIMBA SC
    i. Kiongera Raphael-Amerudishwa toka KCB
    alikokuwa anacheza kwa mkopo
    ii. Novaty Lufunga-African Sports
    iii. Haji Mohamed Ugando-Jaki Academy
    iv. Brian Majegwa-Azm FC
    11. STAND UNITED
    i. Assouman N’gueassan David-FC Olympic
    Sports Abobo
    12. YOUNG AFRICANS
    i. Issoufou Boubacar-
    ii. Paul Nonga-Mwadui
    13. JKT RUVU
    i. Waziri Shaban Iddi-huru
    ii. Hamis Thabit-African Lyon
    iii. Hassan Dilunga-Stand United
    14. MAJIMAJI
     i. Kennedy Stainley Kipepe-Njombe Mji
    ii. Abubakar B Bakari-huru
    iii. Sixmund Ally Mwakasekaga-huru
    iv. Paulo Maona Terry-huru
    15. KAGERA SUGAR
    i. Ramadhani Mzee Kipalamoto-Kagera Sugar
    ii. Samwel Donald Ngassa-huru
    iii. Shaaban Ibrahim Sunza-Mshikamano
    iv. Martin Lupart Mlolere-Abajalo, Dar es
    Salaam
     v. Juma Jabu Hamis-huru
    16. AFRICAN SPORTS
    i. Hamis Twairu Juma-U20, huru
    ii. Hamad Nathaniel Mbumba-Polisi Tabora
    iii. Hamad Nathaniel Mbumba-African Lyon
    iv. Charles Martin Ilamfya-Mkopo toka Mtibwa
    v. Rajab Isihaka-huru
    vi. Reyna Mgungira-huru
    USAJILI UFUATAO UMEZUILIWA KWA
    MAELEZO YAFUATAYYO
    1. AFRICAN SPORTS
    i. Karim Hamud Juma aliyeombea kusajiliwa
    na African Sports akitokea PolisiTabora usajili
    wake
    ii. Michael Victor Mgimwa kamati imezuia usajili wake mpaka hati ya uhamisho wa
    kimataifa umezuiwa mpaka timu mbili zitakapofikia makubaliano itakapotumwa toka Thailand, mchezaji huyu alikuwa anaitumikia Rio United ya Thailand.
    2. MAJIMAJI SPORTS CLUB
    i. Danny David Mrwanda na Lulanga Andrew
    Mapunda-kamati imezuia usajili wake mpaka
    vilabu viwili vya Majimaji inayotaka kumsajili
    na Lipuli iliyokuwa inawamiliki wachezaji hao
    zitakapokubaliana na kutuma kwa maandishi
    makubaliano yao TFF.
    3. MBEYA CITY
    i. Kamati baada ya uchunguzi imejiridhisha kwamba mchezaji Tumba Sued aliyewekewa pingamizi na Coastal Union alisaini mkataba wa mwaka mmoja na nusu na Coastal Union
    siku ya tarehe 12 June, 2014 na mkataba huu ulienda kushuhudiwa kwa mwanasheria siku
    ya tarehe 23 Agosti 2014, kushuhudiwa huku
    hakukubatilisha mkataba uliosainiwa tarehe
    12 June 2014.
    Hivyo kamati inamtangaza Tumba Sued kuwa
    mchezaji huru toka tarehe 11 Desemba na kwa
    sasa ni mchezaji halali na amepitishwa
    kuichezea Mbeya City ya Mbeya.
    ii. Kamati pia inatoa onyo kali kwa klabu ya
    Mbeya City na imeagiza kesi hii ipelekwe
    kwenye kamati ya nidhamu kwa kuongea na
    mchezaji Ditram Nchimbi ambaye ni mchezaji
    halali wa Majimaji ya Songea ambaye alisaini
    mkataba wa miaka miwili na Majimaji tarehe 20 Oktoba 2014 hivyo mkataba wake utaisha tarehe 19 Octoba 2016. Mbeya City wameongea na mchezaji mwenye mkataba uliozidi miezi 6 bila kuomba ridhaa ya klabu
    inayommiliki ambayo ni Majimaji.
    4. JKT RUVU
    JKT Ruvu iliomba kumsajili mchezaji Hassan Dilunga kutoka Stand United kwa kufata taratibu zote ikiwa ni pamoja na kuongea na
    klabu yake ya Stand United na kupata kibali cha kumsajili Dilunga kutoka kwa uongozi
    halali wa Stand United kupitia kwa mwenyekiti na katibu wa Stand United. Pamoja na ruhusa kutoka kwa Stand United bado kuna mtu
    anayeitwa mratibu wa Stand United aliiandikia barua TFF akipinga usajili wa mchezaji huyu.
    Kamati imesikitishwa na kiendo cha mtu huyu
    ambaye hatambuliki na TFF na wala siyo mtu anayepaswa kuwasiliana na TFF kwa kuingilia
    maamuzi ya viongozi halali wa Stand United na imeamuru mtu huyo anayeitwa Mbasha Matutu apelekwe kamati ya maadili.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: USAJILI DIRISHA DOGO:DANNY MRWANDA,TUMBA SWEDI WAKWAMA,DILUNGA,REDONDO WAPENYA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top