728x90 AdSpace

  • Latest News

      Thursday, December 24, 2015

      USAJILI DIRISHA DOGO:DANNY MRWANDA,TUMBA SWEDI WAKWAMA,DILUNGA,REDONDO WAPENYA


      A. USAJILI
      1. Kamati imepitisha usajili wa wachezaji walioombewa kwa vilabu vifuatavyo vya ligi
      kuu
      1. AZAM FC - mchezaji mmoja Ivo Philiph Mapunda (huru)
      2. COASTAL UNION - wachezaji watatu
      i. Omary Wayne Maunda-Mkopo toka Azam
      ii. Miraji Adam Seleman-mkopo toka Simba
      iii. Ramadhani Ali Thabit-huru
      3. MGAMBO SHOOTING
      i. Mudathir M. Khamis-Yanga
      ii. Nurdin Mkomeni-huru
      iii. Godson Mmasa-alikuwa mchezaji wa Mgambo, wameomba kumsajili tena
      4. MTIBWA SUGAR
      i. Alex Mwambisi-huru
      ii. Boniface Maganga-Mkopo kutoka Simba
      iii. Kelvin Iddi Friday-Mkopo kutoka Azam
      iv. Abdallah Said Makangana-alisahaulika
      usajili uliopita ni mchezaji anayendelea
      5. MWADUI SC
      i. Abdallah Mfuko-huru
      ii. Ismail Gambo-Mkopo kutoka Azam FC
      6. NDANDA SC
      i. Braison Raphael-Mkopo kutoka Azam
      ii. Jackson John Nkwera-Sinza Srtars
      7. MBEYA CITY
      i. Ramadhani Selemani Chombo-huru
      ii. Abdallah Salum Juma-Toto Africans
      iii. Deogratius Julius-Kagera Sugar
      8. TANZANIA PRISONS
      i. Baraka Majogoro-Wenda FC
      9. TOTO AFRICANS
      i. Shija Hassan Mkina-huru
      ii. Frank B Kimati-huru
      iii. Ladslaus Mbogo-huru
      iv. Yusuf Seleman Mpili-huru
      v. Maneno Steven Shaban-huru
      10. SIMBA SC
      i. Kiongera Raphael-Amerudishwa toka KCB
      alikokuwa anacheza kwa mkopo
      ii. Novaty Lufunga-African Sports
      iii. Haji Mohamed Ugando-Jaki Academy
      iv. Brian Majegwa-Azm FC
      11. STAND UNITED
      i. Assouman N’gueassan David-FC Olympic
      Sports Abobo
      12. YOUNG AFRICANS
      i. Issoufou Boubacar-
      ii. Paul Nonga-Mwadui
      13. JKT RUVU
      i. Waziri Shaban Iddi-huru
      ii. Hamis Thabit-African Lyon
      iii. Hassan Dilunga-Stand United
      14. MAJIMAJI
       i. Kennedy Stainley Kipepe-Njombe Mji
      ii. Abubakar B Bakari-huru
      iii. Sixmund Ally Mwakasekaga-huru
      iv. Paulo Maona Terry-huru
      15. KAGERA SUGAR
      i. Ramadhani Mzee Kipalamoto-Kagera Sugar
      ii. Samwel Donald Ngassa-huru
      iii. Shaaban Ibrahim Sunza-Mshikamano
      iv. Martin Lupart Mlolere-Abajalo, Dar es
      Salaam
       v. Juma Jabu Hamis-huru
      16. AFRICAN SPORTS
      i. Hamis Twairu Juma-U20, huru
      ii. Hamad Nathaniel Mbumba-Polisi Tabora
      iii. Hamad Nathaniel Mbumba-African Lyon
      iv. Charles Martin Ilamfya-Mkopo toka Mtibwa
      v. Rajab Isihaka-huru
      vi. Reyna Mgungira-huru
      USAJILI UFUATAO UMEZUILIWA KWA
      MAELEZO YAFUATAYYO
      1. AFRICAN SPORTS
      i. Karim Hamud Juma aliyeombea kusajiliwa
      na African Sports akitokea PolisiTabora usajili
      wake
      ii. Michael Victor Mgimwa kamati imezuia usajili wake mpaka hati ya uhamisho wa
      kimataifa umezuiwa mpaka timu mbili zitakapofikia makubaliano itakapotumwa toka Thailand, mchezaji huyu alikuwa anaitumikia Rio United ya Thailand.
      2. MAJIMAJI SPORTS CLUB
      i. Danny David Mrwanda na Lulanga Andrew
      Mapunda-kamati imezuia usajili wake mpaka
      vilabu viwili vya Majimaji inayotaka kumsajili
      na Lipuli iliyokuwa inawamiliki wachezaji hao
      zitakapokubaliana na kutuma kwa maandishi
      makubaliano yao TFF.
      3. MBEYA CITY
      i. Kamati baada ya uchunguzi imejiridhisha kwamba mchezaji Tumba Sued aliyewekewa pingamizi na Coastal Union alisaini mkataba wa mwaka mmoja na nusu na Coastal Union
      siku ya tarehe 12 June, 2014 na mkataba huu ulienda kushuhudiwa kwa mwanasheria siku
      ya tarehe 23 Agosti 2014, kushuhudiwa huku
      hakukubatilisha mkataba uliosainiwa tarehe
      12 June 2014.
      Hivyo kamati inamtangaza Tumba Sued kuwa
      mchezaji huru toka tarehe 11 Desemba na kwa
      sasa ni mchezaji halali na amepitishwa
      kuichezea Mbeya City ya Mbeya.
      ii. Kamati pia inatoa onyo kali kwa klabu ya
      Mbeya City na imeagiza kesi hii ipelekwe
      kwenye kamati ya nidhamu kwa kuongea na
      mchezaji Ditram Nchimbi ambaye ni mchezaji
      halali wa Majimaji ya Songea ambaye alisaini
      mkataba wa miaka miwili na Majimaji tarehe 20 Oktoba 2014 hivyo mkataba wake utaisha tarehe 19 Octoba 2016. Mbeya City wameongea na mchezaji mwenye mkataba uliozidi miezi 6 bila kuomba ridhaa ya klabu
      inayommiliki ambayo ni Majimaji.
      4. JKT RUVU
      JKT Ruvu iliomba kumsajili mchezaji Hassan Dilunga kutoka Stand United kwa kufata taratibu zote ikiwa ni pamoja na kuongea na
      klabu yake ya Stand United na kupata kibali cha kumsajili Dilunga kutoka kwa uongozi
      halali wa Stand United kupitia kwa mwenyekiti na katibu wa Stand United. Pamoja na ruhusa kutoka kwa Stand United bado kuna mtu
      anayeitwa mratibu wa Stand United aliiandikia barua TFF akipinga usajili wa mchezaji huyu.
      Kamati imesikitishwa na kiendo cha mtu huyu
      ambaye hatambuliki na TFF na wala siyo mtu anayepaswa kuwasiliana na TFF kwa kuingilia
      maamuzi ya viongozi halali wa Stand United na imeamuru mtu huyo anayeitwa Mbasha Matutu apelekwe kamati ya maadili.

      • Blogger Comments
      • Facebook Comments

      0 comments:

      Post a Comment

      Item Reviewed: USAJILI DIRISHA DOGO:DANNY MRWANDA,TUMBA SWEDI WAKWAMA,DILUNGA,REDONDO WAPENYA Rating: 5 Reviewed By: Unknown