728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, December 30, 2015

    LIGI KUU ENGLAND:LECEISTER CITY,MAN CITY ZASHINDWA KUTAMBIANA ZATOKA SARE YA 0-0,ARSENAL YABAKI KILELENI


    Leceister,England.

    Leceister City na Manchester City zimetoka sare ya 0-0 katika mchezo mkali wa ligi kuu uliopigwa jumanne usiku katika uwanja wa King Power,Leceister.

    Licha ya timu zote kufanya mashambulizi makali lakini mpaka mpaka dakika 90 zinaisha hakuna goli lililofanikiwa kufungwa.

    Kufuatia matokeo hayo Leceister City inaumaliza mwaka 2015 ikiwa nafasi ya pili nyuma ya Arsenal kwa tofauti ya magoli baada ya zote kuwa na pointi 39 huku Manchester City ikifuatia katika nafasi ya tatu na pointi 36.

    Vikosi:

    Leicester (4-3-3): Schmeichel; Simpson,
    Morgan, Huth, Fuchs; Kante, Drinkwater, Inler;Mahrez, Vardy, Albrighton. 

    Mchezo ujao:Bournemouth.

    Man City (4-2-3-1): Hart,Sagna, Mangala,
    Otamendi, Kolarov; Fernandinho, Toure;De
    Bruyne, Silva, De Bruyne; Aguero. 

    Mchezo ujao:Watford 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: LIGI KUU ENGLAND:LECEISTER CITY,MAN CITY ZASHINDWA KUTAMBIANA ZATOKA SARE YA 0-0,ARSENAL YABAKI KILELENI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top