728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, March 21, 2017

    Yanga Yapangwa na M C Alger ya Algeria



    MC Alger
    Kwa mujibu wa ratiba iliyopangwa leo mchana, wawakilishi wa Tanzania waliosalia katika mashindano ya Afrika, Yanga wamepangiwa kucheza na timu ya MC Alger ya Algeria.
    Yanga itaanza kucheza mechi yake nyumbani kati ya tarehe Aprili 7-9 hadi 9 jijini Dar kabla ya kurudiana kati ya Aprili 14-16 nchini Algeria.
    Yanga imepata nafasi ya kushiriki hatua ya mchujo wa kuwania kufuzu kucheza nane bora ya Kombe la Shirikisho baada ya kutolewa na klabu ya Zanaco katika hatua ya 32 Bora ya Ligi ya Mabingwa.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Yanga Yapangwa na M C Alger ya Algeria Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top