728x90 AdSpace

  • Latest News

      Friday, March 31, 2017

      Baada ya sanamu la Cristiano Ronaldo kudaiwa kukosewa,haya hapa masanamu mengine yanayodaiwa kutofanana na wahusika


      Madeira,Ureno.

      MAPEMA juzi Jumatano sanamu la staa wa Ureno,Cristiano Ronaldo lilizinduliwa katika hafla ya kuubadili jina uwanja wa ndege wa Madeira na kuupa jina la mshindi huyo wa msimu uliopita wa tuzo ya mchezaji bora wa dunia.

      A bust of Cristiano Ronaldo was unveiled at the airport named after him in Portugal

      Sanamu hilo ambalo limetengenezwa na msanii Emanuel Santos limeonekana kugonga vichwa vingi vya habari baada ya kudaiwa kutofanana vyema na muhusika ambaye ni Cristiano Ronaldo.

      Yafuatayo ni masanamu nane (8) ambayo yanadaiwa kutofanana vyema na wahusika

      The Luis Suarez statue is placed outside a shopping centre in his home town, Salto

      Luis Suarez

      A statue of David Beckham was erected temporarily in New York as part of an ad campaign

      David Beckham

      Not all Fulham fans were happy when a statue of Michael Jackson went up outside their ground

      Michael Jackson

        Former England manager Sven-Goran Eriksson was remembered kindly in his native Sweden

      Sven-Goran Eriksson

      Southampton's tribute to their legendary former manager Ted Bates makes our list

      Ted Bates







      Arsenal's Alexis Sanchez had an odd statue unveiled in Chile after winning the Copa America

      Alexis Sanchez

               Perhaps the worst ever football statue is this of Cameroon legend Samuel Eto'o

      Samweli Eto'o


      Alan Shearer immortalised by Newcastle

      Alan Shearer
      • Blogger Comments
      • Facebook Comments

      0 comments:

      Post a Comment

      Item Reviewed: Baada ya sanamu la Cristiano Ronaldo kudaiwa kukosewa,haya hapa masanamu mengine yanayodaiwa kutofanana na wahusika Rating: 5 Reviewed By: Unknown