728x90 AdSpace

Friday, March 31, 2017

Baada ya sanamu la Cristiano Ronaldo kudaiwa kukosewa,haya hapa masanamu mengine yanayodaiwa kutofanana na wahusika


Madeira,Ureno.

MAPEMA juzi Jumatano sanamu la staa wa Ureno,Cristiano Ronaldo lilizinduliwa katika hafla ya kuubadili jina uwanja wa ndege wa Madeira na kuupa jina la mshindi huyo wa msimu uliopita wa tuzo ya mchezaji bora wa dunia.

A bust of Cristiano Ronaldo was unveiled at the airport named after him in Portugal

Sanamu hilo ambalo limetengenezwa na msanii Emanuel Santos limeonekana kugonga vichwa vingi vya habari baada ya kudaiwa kutofanana vyema na muhusika ambaye ni Cristiano Ronaldo.

Yafuatayo ni masanamu nane (8) ambayo yanadaiwa kutofanana vyema na wahusika

The Luis Suarez statue is placed outside a shopping centre in his home town, Salto

Luis Suarez

A statue of David Beckham was erected temporarily in New York as part of an ad campaign

David Beckham

Not all Fulham fans were happy when a statue of Michael Jackson went up outside their ground

Michael Jackson

  Former England manager Sven-Goran Eriksson was remembered kindly in his native Sweden

Sven-Goran Eriksson

Southampton's tribute to their legendary former manager Ted Bates makes our list

Ted Bates







Arsenal's Alexis Sanchez had an odd statue unveiled in Chile after winning the Copa America

Alexis Sanchez

         Perhaps the worst ever football statue is this of Cameroon legend Samuel Eto'o

Samweli Eto'o


Alan Shearer immortalised by Newcastle

Alan Shearer
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: Baada ya sanamu la Cristiano Ronaldo kudaiwa kukosewa,haya hapa masanamu mengine yanayodaiwa kutofanana na wahusika Rating: 5 Reviewed By: Unknown