728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, March 27, 2017

    Mchezo wa Mbao FC na Simba SC wasogezwa mbele



    Paul Manjale

    MCHEZO wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) kati ya wenyeji Mbao FC na Simba SC uliokuwa uchezwe Aprili 8, mwaka huu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza umesogezwa mbele kwa siku mbili zaidi na sasa utachezwa Aprili, 10.

                        
    Taarifa iliyotolewa jioni ya leo na Mkurugenzi wa Bodi ya Ligi, Boniphace Wambura imesema mchezo huo umesogezwa mbele ili kupisha shughuli za kijamii zitakazofanyika kwenye uwanja huo kuanzia Aprili 1 mpaka Aprili 9.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Mchezo wa Mbao FC na Simba SC wasogezwa mbele Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top