728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, March 29, 2017

    Brazil yaishindilia Paraguay 3-0 kombe la dunia


    São Paulo,Brazil.

    NEYMAR JR pichani akishangilia baada ya kuifungia Brazil bao moja katika ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Paraguay katika mchezo wa kusaka tiketi ya kushiriki michuano ya kombe la dunia la mwaka 2018 nchini Urusi.

    Bao hilo la dakika ya 64 limemfanya Neymar Jr afikishe mabao 52 la kimataifa akiwa na jezi ya Brazil.Kabla ya bao hilo alikosa penati baada ya mkwaju wake kudakwa na kipa wa Paraguay, Antony Silva.

    Philippe Coutinho points to the skies after opening the scoring for Brazil against Paraguay

    Mabao mengine ya Brazil yamefungwa na kiungo Philippe Coutinho katika dakika ya 35 pamoja na beki wa kushoto,Marcelo katika dakika ya 86 ya mchezo.

    Marcelo lifts the ball over Silva to complete the scoring in the 86th minute of the game

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Brazil yaishindilia Paraguay 3-0 kombe la dunia Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top