728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday, March 30, 2017

    Serengeti Boys yashinda tatu bila dhidi ya Burundi


    Faridi Miraji , Dar es salaam.                      

    Timu ya Taifa ya vijana nchini Tanzania , Serengeti boys imeifunga wenzao wa timu ya Taifa ya Burundi kwenye mchezo wa kirafiki iliofanyika uwanja wa Kaitaba , mkoni Kagera na kushuhudia Serengeti boys ikishinda kwa magoli matatu bila majibu



    Magoli ya Serengeti boys yamewekwa kimiyani na Muhisin Makame dakika ya 20 na goli la pili la Serengeti boys limefungwa na beki wa kushoto Niksoni Kibabage dakika ya 39 huku goli la mwisho likiwekwa kambani na mshambuliaji tegemezi wa timu ya Taifa Yohana Nkomola dakika ya 72 kwa mkwaju wa penalty.

    Serengeti boys mwendo ni Gabon mpaka kombe la Dunia
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Serengeti Boys yashinda tatu bila dhidi ya Burundi Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top