728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, March 31, 2017

    Roger Federer atinga nusu fainali ya michuano ya Miami Open


    Miami,Marekani.

    MSWISI Roger Federer amefanikiwa kutinga nusu fainali ya michuano ya wazi ya tenesi ya Miami (Miami Open) baada ya kutoka nyuma na kupata ushindi wa seti tatu (3) kwa moja (1) dhidi ya Tomas Berdych wa Croatia jana Alhamisi usiku huko Miami,nchini Marekani.


    Kabla ya kupata ushindi huo mubashara tayari Federer alikuwa amechapwa raundi ya kwanza kwa seti 6-4 kabla ya kupindua matokeo na kupata ushindi wa seti tatu za 6-2, 3-6, 7-6 .
    The Australian was clearly riled up, but kept his composure to win in three sets
                                                                         Nick Kyrgios

    Sasa Federer atacheza nusu fainali dhidi ya Mu-australia Nick Kyrgios ambaye katika robo fainali nyingine alimchapa Alexander Zverev kwa seti tatu za 6-4,6-7 na 6-3.

    BOFYA HAPA KWA HABARI ZAIDI ZA TENISIhttp://www.dailymail.co.uk/sport/tennis/article-4366196/Roger-Federer-beats-Tomas-Berdych-Miami-Open.html?ITO=1490&ns_mchannel=rss&ns_campaign=1490
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Roger Federer atinga nusu fainali ya michuano ya Miami Open Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top