728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, March 22, 2017

    Ozi'l kutua Fenerbache



    Uturuki.

    Mesut Ozil huenda akatua Fenerbahce  kama ataondoka Arsenal mwishoni mwa msimu huu, kwa mujibu wa taarifa kutoka The Telegraph.

    Ozil kama Alexis Sanchez bado hajasaini mkataba mpya wa kubaki Gunners na bado ana mahusiano ya kifamilia nchini Uturuki.

    Taarifa zinasema kwamba Arsenal watakuwa tayari kusikiliza ofa ya pauni milioni 30 kwa kiungo huyo  mchezeshaji.  kama ataondoka Arsenal mwishoni mwa msimu huu, kwa mujibu wa taarifa kutoka The Telegraph.

    Ozil kama Alexis Sanchez bado hajasaini mkataba mpya wa kubaki Gunners na bado ana mahusiano ya kifamilia nchini Uturuki.

    Taarifa zinasema kwamba Arsenal watakuwa tayari kusikiliza ofa ya pauni milioni 30 kwa kiungo huyo  mchezeshaji.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Ozi'l kutua Fenerbache Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top