728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, March 29, 2017

    Ronaldinho ageukia muziki,atoa singo ya kwanza,sikiliza wimbo na kutazama video hapa


    Paul Manjale.

    STAA wa zamani wa Brazil na mshindi mara mbili wa tuzo ya mchezaji bora wa dunia,Ronaldinho amegeukia fani ya muziki baada ya jana Jumanne kupakua kibao chake cha kwanza ambacho amekiita SOZINHO akimaanisha Alone ama Pekee kwa lugha ya kiswahili.

    Kibao hicho ambacho kina urefu wa dakika 4:15 kimeimbwa katika mahadhi ya muziki wa Samba ambao ni maarufu sana nchini Brazil.

    Ronaldinho has launched his music career with his new single, 'Sozinho'

    Akiutambulisha wimbo huo,Ronaldinho amesema kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii "Asanteni marafiki zangu,huu ni wimbo wangu wa kwanza,nimeutunga mwenyewe"Alimaliza Ronaldinho ambaye amekuwa nje ya dimba tangu mwaka 2015.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Ronaldinho ageukia muziki,atoa singo ya kwanza,sikiliza wimbo na kutazama video hapa Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top