728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, September 20, 2016

    WAHABESHI WA ETHIOPIA WATWAA USHINDI WA 3 CECAFA,WAWATWANGA WENYEJI UGANDA


    Jinja,Uganda.

    TIMU ya taifa ya soka ya wanawake ya Ethiopia (Pichani) imetwaa ushindi wa tatu wa michuano ya CECAFA ya baada ya mchana huu kuwafunga wenyeji Uganda kwa mabao 4-1 katika mchezo uliochezwa huko Jinja.

    Ethiopia imepata mabao yake kupitia kwa Erhima Zeregaw aliyefunga mabao matatu pamoja na Losa Abera aliyefunga bao moja.Bao la Uganda limefungwa na Hasifa Nassuna. 


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: WAHABESHI WA ETHIOPIA WATWAA USHINDI WA 3 CECAFA,WAWATWANGA WENYEJI UGANDA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top