728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, September 25, 2016

    Kikosi cha Yanga kitakachoanza dhidi ya Stand United leo hii hiki hapa,Bossou ndani.


    Shinyanga,Tanzania.

    BAADA ya kukosekana katika michezo miwili iliyopita ya ligi kuu bara dhidi ya Ndanda FC na Majimaji FC,beki Mtogo ,Vincent Bossou,leo ataongoza safu ya ulinzi ya Yanga kuvaana na Stand United katika mchezo utakaochezwa huko katika dimba la CCM Kirumba,Shinyanga.

    KIKOSI KAMILI

    1.Ally Mustapha

    2Juma Abdul

    3.Haji Mwinyi

    4.Vincent Bossou

    5.Vicent Andrew

    6.Mbuyi Twite

    7. Saimon Msuva

    8.Thaban Kamusoko

    9.Donald Ngoma

    10.Amissi Tambwe

    11.Deus Kaseke

    Akiba

    1.Deogeatius Munish Dida

    2.Hassan Kessy

    3.Canavaro

    4.Kelvin Yondan

    5.Haruna Niyonzima

    6.Juma Mahadhi

    7.Obrey Chirwa


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Kikosi cha Yanga kitakachoanza dhidi ya Stand United leo hii hiki hapa,Bossou ndani. Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top