728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, March 27, 2017

    Serengeti Boy's watua salama Bukoba kuwavaa Burundi


    Faridi Miraji.                                        

    Timu ya Taifa ya Tanzania chini ya miaka kumi na saba (U17) Serengeti Boys imefika Salama Bukoba -Kagera  Kwa mechi za kirafiki dhidi ya Burundi (U17) . Serengeti Boys wamekwea Pipa leo asubuhi kuwafuata Burundi Kwa mechi mbili za kirafiki zitakazochezwa Marchi 30 na watarudiana tena April 1 kwenye uwanja wa Kaitaba -Bukoba. 



    Serengeti Boy's inacheza mechi za kirafiki Kwa Ajili ya kujiandaa na michuano ya Africa chini ya miaka kumi na saba (AFCON U17) itakayofanyika Gabon kuanzia Mei mwaka huu.  Baada ya mechi dhidi ya Burundi watarudi Dar kucheza na Ghana April 3, ndio wanaenda Morroco kuweka kambi ya mwezi mmoja. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Serengeti Boy's watua salama Bukoba kuwavaa Burundi Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top