728x90 AdSpace

Thursday, March 30, 2017

Nyota wa zamani wa Chelsea amfuata Michael Essien Indonesia



Bandung,Indonesia.

NYOTA wa zamani wa Chelsea,Carlton Cole amejiunga na klabu ya Persib Bandung ya Indonesia ambayo hivi karibuni ilimsajili kiungo wa zamani wa kimataifa wa Ghana,Michael Essien ambaye pia aliwahi kupitia Chelsea.


Cole,33,amesaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuichezea Persib Bandung akiwa mchezaji huru baada ya mwaka jana kuichezea Sacramento Republic ya Marekani. 

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: Nyota wa zamani wa Chelsea amfuata Michael Essien Indonesia Rating: 5 Reviewed By: Unknown