728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday, March 30, 2017

    Nyota wa zamani wa Chelsea amfuata Michael Essien Indonesia



    Bandung,Indonesia.

    NYOTA wa zamani wa Chelsea,Carlton Cole amejiunga na klabu ya Persib Bandung ya Indonesia ambayo hivi karibuni ilimsajili kiungo wa zamani wa kimataifa wa Ghana,Michael Essien ambaye pia aliwahi kupitia Chelsea.


    Cole,33,amesaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuichezea Persib Bandung akiwa mchezaji huru baada ya mwaka jana kuichezea Sacramento Republic ya Marekani. 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Nyota wa zamani wa Chelsea amfuata Michael Essien Indonesia Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top