728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, October 12, 2015

    CAF YATANGAZA NYOTA 37 WANAOWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA AFRIKA,AFRIKA MASHARIKI YATOA MMOJA TU


    Cairo,Misri.

    Shirikisho la vyama vya soka barani Afrika (CAF) leo hii limetangaza majina ya wachezaji 37 wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa Afrika.

    Katika tuzo hiyo itakayotolewa baadae mwaka huu Afrika Mashariki imewakilishwa na kiungo Victor Wanyama anayekipiga katika klabu ya Southampton ya England.

    Orodha kamili iko kama ifuatavyo .....
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: CAF YATANGAZA NYOTA 37 WANAOWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA AFRIKA,AFRIKA MASHARIKI YATOA MMOJA TU Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top