728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, October 30, 2015

    HII NDIYO XI YA CESC FABREGAS

    London,England.

    Kiungo wa Chelsea Cesc Fabregas ametaja kikosi cha nyota kumi na moja anaowahusudu zaidi.Katika kikosi hicho Fabregas ametaja nyota wanne kutoka katika klabu yake ya Chelsea.

    Akiongea na Match of the Day magazine,Fabregas ambaye hakuwa katika kikosi cha Chelsea kilichotupwa nje ya michuano ya Capital One na Stoke City siku ya jumanne amewajumuisha pia nyota wa klabu yake ya zamani ya FC Barcelona pamoja na viungo Paul Pogba (Juventus) na Marco Veratti (Paris Saint-Germain).

    Kikosi kamili kiko kama ifuatavyo..........



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: HII NDIYO XI YA CESC FABREGAS Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top