728x90 AdSpace

Tuesday, October 20, 2015

LIGI YA MABINGWA ULAYA:ARSENAL IKO EMIRATES KUIVAA BAYERN,CHELSEA MGENI WA KIEV,RATIBA YOTE LEO/KESHO IKO HAPA


Ligi ya mabingwa wa Ulaya (Champions League) itaendelea tena leo jumanne na kesho jumatano kwa vilabu mbalimbali kupambana ili kuhakikisha vinaibuka na pointi 3 muhimu.

Mchezo unaosubiriwa kwa hamu ni ule utakaopigwa katika dimba la Emirates kati ya Arsenal na Bayern Munich.

Mchezo huu umeonekana kuvuta hisia za wengi kutokana na Arsenal kushindwa kuambulia ushindi wowote katika michezo yake miwili ya awali ya kundi F na pia imekuwa ikipata wakati mgumu sana pindi ikutanapo na miamba hiyo ya Ujerumani.

Ratiba kamili iko kama ifuatavyo............

Jumanne Octoba 20

Group E
BATE Borisov v Barcelona
Bayer Leverkusen v Roma

Group F
Arsenal v Bayern Munich
Dinamo Zagreb v Olympiakos

Group G
Dynamo Kiev v Chelsea
Porto v Maccabi Tel Aviv

Group H
Valencia v Gent
Zenit St Petersburg v Lyon

Jumatano Octoba 21

Group A
Malmo v Shakhtar Donetsk
Paris Saint-Germain v Real Madrid

Group B
CSKA Moscow v Manchester United
Wolfsburg v PSV Eindhoven



  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: LIGI YA MABINGWA ULAYA:ARSENAL IKO EMIRATES KUIVAA BAYERN,CHELSEA MGENI WA KIEV,RATIBA YOTE LEO/KESHO IKO HAPA Rating: 5 Reviewed By: Unknown