728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, October 20, 2015

    LIGI YA MABINGWA ULAYA:ARSENAL IKO EMIRATES KUIVAA BAYERN,CHELSEA MGENI WA KIEV,RATIBA YOTE LEO/KESHO IKO HAPA


    Ligi ya mabingwa wa Ulaya (Champions League) itaendelea tena leo jumanne na kesho jumatano kwa vilabu mbalimbali kupambana ili kuhakikisha vinaibuka na pointi 3 muhimu.

    Mchezo unaosubiriwa kwa hamu ni ule utakaopigwa katika dimba la Emirates kati ya Arsenal na Bayern Munich.

    Mchezo huu umeonekana kuvuta hisia za wengi kutokana na Arsenal kushindwa kuambulia ushindi wowote katika michezo yake miwili ya awali ya kundi F na pia imekuwa ikipata wakati mgumu sana pindi ikutanapo na miamba hiyo ya Ujerumani.

    Ratiba kamili iko kama ifuatavyo............

    Jumanne Octoba 20

    Group E
    BATE Borisov v Barcelona
    Bayer Leverkusen v Roma

    Group F
    Arsenal v Bayern Munich
    Dinamo Zagreb v Olympiakos

    Group G
    Dynamo Kiev v Chelsea
    Porto v Maccabi Tel Aviv

    Group H
    Valencia v Gent
    Zenit St Petersburg v Lyon

    Jumatano Octoba 21

    Group A
    Malmo v Shakhtar Donetsk
    Paris Saint-Germain v Real Madrid

    Group B
    CSKA Moscow v Manchester United
    Wolfsburg v PSV Eindhoven



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: LIGI YA MABINGWA ULAYA:ARSENAL IKO EMIRATES KUIVAA BAYERN,CHELSEA MGENI WA KIEV,RATIBA YOTE LEO/KESHO IKO HAPA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top