728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, October 21, 2015

    VIJUE VILABU VYENYE VIKOSI GHARI ZAIDI,MISHAHARA MIKUBWA ZAIDI NA VILIVYOVUNA FAIDA KUBWA ZAIDI MWAKA 2014

    Madrid,Hispania.

    VIKOSI

    Real Madrid ndiyo klabu yenye kikosi ghari zaidi Ulaya kwa sasa hii ni kwa mujibu wa Uefa's annual Benchmarking Report.Real Madrid ambao ni mabingwa mara 10 wa Ulaya wana kikosi chenye thamani ya €629 million,kutokana na hesabu za fedha za mwaka 2014. 
     

    Nafasi ya pili inashikiliwa na Manchester City yenye kikosi chenye thamani ya (€526m),Chelsea iko katika nafasi ya tatu ikiwa na kikosi chenye thamani ya  (€498m).

    Kutoka katika ripoti hiyo kuna jumla ya vilabu 15 ambavyo vina vikosi vyenye thamani ya zaidi ya  €200m,ikiwemo Barcelona, Manchester United, Inter, Juventus na Arsenal.

    MISHAHARA
     

    Real Madrid pia imeongoza katika ulipaji wa mishahara kwani katika mwaka 2014 imelipa mishahara yenye thamani ya €270m ikifuatiwa na Manchester United (€263m),Barcelona (€248m),Manchester City (€245m) na Paris Saint-Germain (€235m).

    Huku wastani wa mishahara kwa vilabu vya juu 20 Ulaya kwa mwaka 2014 ikiwa ni  €172m,jumla ya mishahara kwa vilabu hivyo ni €3.5 billion. 

     MAPATO YA MILANGONI
     

     FAIDA KWA MWAKA
     


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: VIJUE VILABU VYENYE VIKOSI GHARI ZAIDI,MISHAHARA MIKUBWA ZAIDI NA VILIVYOVUNA FAIDA KUBWA ZAIDI MWAKA 2014 Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top