728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, March 17, 2017

    Juan Mata aipeleka Man United robo fainali Europa Ligi.

    Manchester, England.

    JUAN Mata (Pichani) akishangilia bao la pekee la dakika ya 70 aliloifungia Manchester United na kuipeleka robo fainali ya kombe la Europa Ligi katika ushindi wa bao 1-0 dhidi ya FC Rostov jana Alhamis nyumbani Old Trafford.

    Mata amefunga bao hilo akimalizia krosi ya Henrikh Mkhitaryan iliyoguswa kidogo na Zlatan Ibrahimovic na kuipa Manchester United ushindi wa jumla wa mabao 2-1 hii ni baada ya kutoka sare ya 1-1 kwenye mchezo wa awali uliochezwa huko Urusi juma moja lililopita.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Juan Mata aipeleka Man United robo fainali Europa Ligi. Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top