728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday, March 16, 2017

    Serengeti boy's kuwaunganisha Ali kiba na Diamond korabo moja

    Ali Kiba , Bongo Flavor

    Na Faridi Miraji.                                                 

    Timu ya Tanzania chini ya miaka 17 Serengeti boys imewaleta pamoja wasanii wakubwa wa Tanzania  Nassib Abdul 'Diamond Platnumz na ALI  Kiba  'Alikiba ' Unajua inakuwaje?  
    Baada ya muda mfupi utaona Ngoma ya pamoja Alikiba pamoja Diamond ya kuhamasisha na kuichangia timu ya Serengeti boys ambayo imefuzu kucheza fainali za Africa U17 , Alikiba na Diamond  wapo kwenye kamati ya kuhamasisha na kutafuta fedha kuisaidia timu hiyo. 

    -


    Diamond, Bongo Flavor

    Msemaji wa kamati hiyo chini ya mwenyekiti Charles Hilaly  Mwadishi Maulid kitenge amedhibitisha hilo wimbo upo Tayari wameshawatumia wasanii hao kuingiza Sauti zao Alikiba aliyepo Marekani Kwa sasa Ameupokea wimbo huo Huku Diamond aliyepo Tanzania naye Ameupokea na wataanza mara moja kazi ya kuingiza Sauti..  Huku kukiwa na  mpango wa kufanya video Kwa pamoja na Wataingiza  matukio mbalimbali ya serengeti Boys yataingizwa 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Serengeti boy's kuwaunganisha Ali kiba na Diamond korabo moja Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top