728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday, March 16, 2017

    Serengeti Boys sasa ni mwendo wa suti tu


    Dar Es Salaam,Tanzania.

    Vijana wa timu ya taifa ya Tanzania ya wachezaji wenye umri wa miaka 17,maarufu kama Serengeti Boys sasa hawatakuwa wakivalia jezi ama track suit kwenye safari zao za michuano mbalimbali ya kimataifa na badala yake watakuwa wakivalia suti.

    Chini ni vijana wa Serengeti Boys wakichukuliwa vipimo leo tayari kwa kushonewa suti ambazo wataanza kuzivaa kwenye michuano ya vijana ya kombe la Afrika (AFCON) itakayofanyika mwezi Mei nchini Gabon.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Serengeti Boys sasa ni mwendo wa suti tu Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top