728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, March 18, 2017

    Zanako na Yanga Sc Ngoma droo , Watoka sare ya bila kufungana , goal la ugenini laibeba Zanako


    Dk 90 za mpambano wa klabu Bingwa Africa kati ya wenyeji Zanaco FC (Zambia) na Young Africans (Tanzania) zimemalizika katika Uwanja wa Mashujaa jijini Lusaka Zambia kwa timu hizo kutoka sare ya 0~0'

    Kwa matokeo hayo Yanga SC wamesukumwa nje ya michuano hiyo mikubwa kabisa Barani Africa kwa ngazi ya Vilabu.

    FT, Zanaco FC 0  Yanga SC 0 

    Aggregate 1-1 

    Zanaco  FC wanasonga mbele kwa faida ya goli la ugenini .

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Zanako na Yanga Sc Ngoma droo , Watoka sare ya bila kufungana , goal la ugenini laibeba Zanako Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top