728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, August 03, 2016

    SIMBA SC YATAMBULISHA JEZI ZAKE ZA MSIMU MPYA

    Dar es Salaam,Tanzania.

    MABINGWA wa zamani wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara,Simba SC,leo wametambulisha jezi zao mpya watakazozitumia katika msimu ujao wa 2016/17.

    Jezi hizo za nyumbani na ugenini zimetambulishwa leo kupitia ukurasa wa rasmi wa Facebook wa klabu hiyo lakini utambulisho rasmi pamoja na kuanza kuuzwa itakuwa ni Agosti 8 siku ya Simba Day.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: SIMBA SC YATAMBULISHA JEZI ZAKE ZA MSIMU MPYA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top