728x90 AdSpace

Wednesday, August 31, 2016

HATIMAYE JACK WILSHERE ASAINI BOURNEMOUTH KWA MKOPO


London,Uingereza.

KIUNGO wa Kimataifa wa England,Jack Wilshere akiwa ameshika jezi ya Bournemouth baada ya kukamilisha uhamisho wa mkopo wa msimu mmoja kutoka Arsenal.




Wilshere,24,amejiunga na Bournemouth baada ya kushindwa kupenya katika kikosi kwanza cha Arsenal hasa baada ya ujio wa kiungo wa Uswisi,Granit Xhaka,ambaye ameonekana kuwa bora zaidi yake.


  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: HATIMAYE JACK WILSHERE ASAINI BOURNEMOUTH KWA MKOPO Rating: 5 Reviewed By: Unknown