728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, August 31, 2016

    HATIMAYE JACK WILSHERE ASAINI BOURNEMOUTH KWA MKOPO


    London,Uingereza.

    KIUNGO wa Kimataifa wa England,Jack Wilshere akiwa ameshika jezi ya Bournemouth baada ya kukamilisha uhamisho wa mkopo wa msimu mmoja kutoka Arsenal.




    Wilshere,24,amejiunga na Bournemouth baada ya kushindwa kupenya katika kikosi kwanza cha Arsenal hasa baada ya ujio wa kiungo wa Uswisi,Granit Xhaka,ambaye ameonekana kuwa bora zaidi yake.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: HATIMAYE JACK WILSHERE ASAINI BOURNEMOUTH KWA MKOPO Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top