728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, August 31, 2016

    LECEISTER CITY YAVUNJA BENKI KWA STRAIKA WA ALGERIA


    Leceister,Uingereza.

    MSHAMBULIAJI wa Kimataifa wa Algeria,Islam Slimani,akiwa ameshika jezi ya Leceister City baada ya kukamilisha usajili wa £30m kutoka Sporting Lisbon ya Ureno.

    Slimani,28,amesaini mkataba wa miaka mitano wa kuitumikia Leceister City na anakuwa mchezaji ghali zaidi katika historia ya klabu hiyo.

    Msimu uliopita Slimani aliifungia Sporting Lisbon mabao 27 katika michezo 33 ya ligi kuu nchini Ureno.Pia ameifungia Algeria mabao 23 katika michezo 43.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: LECEISTER CITY YAVUNJA BENKI KWA STRAIKA WA ALGERIA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top