728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, August 30, 2016

    RASMI ARSENAL YAMSAJILI LUCAS PEREZ


    London,Uingereza.

    BAADA ya ngoja ngoja nyingi hatimaye Arsenal imemtangaza Mshambuliaji Lucas Perez kuwa nyota wake mpya.

    Perez,27,amejiunga na Arsenal akitokea Deportivo La Coruna kwa ada ya £17m.Amesaini miaka minne na atakuwa akipokea mshahara wa £40,000 kwa wiki.

    Perez wenye uwezo wa kucheza kama mshambuliaji wa kati ama winga wa kushoto anaiacha Deportivo La Coruna akiwa ameifungia mabao 24 na kutengeneza (assists) mengine 17 katika michezo 58.

    Kabla ya kutua La Coruna,Perez aliwahi kuvichezea vilabu vya Atletico Madrid C,Rayo Vallecano,Karpaty Lviv ya Ukraine pamoja na PAOK ya Ugiriki.





    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: RASMI ARSENAL YAMSAJILI LUCAS PEREZ Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top