728x90 AdSpace

Wednesday, August 31, 2016

RASMI:DAVID LUIZ AREJEA CHELSEA


London,Uingereza.

HATIMAYE Chelsea imemsajili kwa mara ya pili beki wa kimataifa wa Brazil,David Luiz,lakini safari hii akitokea Paris Saint-Germain ya Ufaransa kwa ada ya £38m (€45m).

Luiz mwenye umri wa miaka 29 sasa amerejea Chelsea ikiwa ni miaka miwili tu imepita tangu aihame klabu hiyo na kujiunga na Paris Saint-Germain kwa ada ya £50m.

Hakuna taarifa rasmi iliyotolewa juu ya urefu wa mkataba aliosaini beki huyo mwenye uwezo wa kucheza pia kama kiungo wa ulinzi.


  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: RASMI:DAVID LUIZ AREJEA CHELSEA Rating: 5 Reviewed By: Unknown