728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, March 17, 2017

    Emanuel Okwi Aitwa tena kwa heshima Timu ya Taifa Uganda : The Cranes




    Mshambuliaji wa Sports Club Villa aliesajiliwa huru msimu wa dirisha dogo, Emanuel  Anold Okwi ameteuliwa kuwa  nahodha wa kikosi cha timu ya timu ya Taifa ya Uganda "The Cranes"kitakachocheza mechi ya kirafiki machi 19 mwaka huu dhidi ya Eastern Region Select,mchezo utakaofanyika kwenye uwanja wa Kamuli Town'

    Okwi amejumuishwa kwenye hicho na kocha msaidizi wa The Cranes Moses  Basena.

    Boses Basena amefanya maamuzi hayo baada ya kuridhishwa na kiwango cha mshambuliaji huyo ambaye mpaka sasa ana goli sita kwenye ligi kuu nchini Uganda pia uzoefu wake na dhana ya uongozi katika timu kwa wenzake.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Emanuel Okwi Aitwa tena kwa heshima Timu ya Taifa Uganda : The Cranes Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top