728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday, March 16, 2017

    Caf Yaipitisha Zanzibar, sasa Zanzibar kujitegemea kwenye mashindano


    Shirikisho la soka barani Africa Caf Leo mchana limepiga kura ya kuipitisha uanachama wa Caf Zanzibar na kupita bila kipingamizi chochote kwa kupata kura zote za wajumbe wa mkutano mkuu.

    Rais wa Chama cha soka Tanzania Jamal Malinzi aliahidi kuifikisha Zanzibar kwenda kutambulika na Car na amefanikiwa kwa hilo 

    Kwa sasa rasmi kabisa Zanzibar ni mwanachama halali wa Caf na amepewa namba 55 ya uanachama wa Caf 

    Sasa Zanzibar itafaidika na fedha za maendeleo mbali mbali ya kimichezo kutoka Caf moja kwa sio kama zamani isubilie mgao toka TFF .Mgao huo ni kama maendeleo ya soka la vijana , wakinamama , msaada wa ujenzi wa viwanja mbali mbali na pia Zanzibar wanasubili kupitishwa pia kama mwanachama halali wa Fifa punde 2 watapopeleka maombi yap.

    Soka extra blog inaitakia kila la kheri Zanzibar .
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Caf Yaipitisha Zanzibar, sasa Zanzibar kujitegemea kwenye mashindano Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top