728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, May 07, 2016

    BAYERN WATWAA UBINGWA WA 26 BUNDESLIGA



    Munich,Ujerumani.

    Mabao mawili ya Mshambuliaji Mpoland Robert Lewandowski yameiwezesha Bayern Munich itwae ubingwa wa Bundesliga kwa mara ya nne mfululizo baada ya leo jioni kuibuka na ushindiwa mabao 2-1 dhid ya Ingolstadt.

    Lewandowski alifunga bao la kwanza kwa mkwaju wa penati uliopatikana baada ya Frank Ribery kuangushwa kwenye eneo la hatari na nahodha wa Ingolstadt Marvin Matip kasha kuongeza  la pili huku lile la kufutia wachozi la wenyeji Ingolstadt likifungwa na Mortiz Hartmann.

    Kwa ushindi huo Bayern Munich imekuwa timu ya kwanza ya Ujerumani kutwaa ubingwa wa Bundesliga mara nne mfululizo,jumla ikiwa ni mara 26.
     The Polish striker converted from the spot after Franck Ribery was felled in the Ingolstadt penalty area.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: BAYERN WATWAA UBINGWA WA 26 BUNDESLIGA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top