728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, May 30, 2016

    WALICHOKISEMA MARCUS RASHFORD NA BORTHWICK BAADA YA KUSAINI MIKATABA MIPYA MAN UNITED

    Manchester, England.

    BAADA ya tetesi za hapa na pale hatimaye Marcus Rashford amesaini mkataba mpya wa miaka minne wa kuendelea kuitumikia Klabu yake ya Manchester United.

    Mkataba huo mpya wenye kipengele cha kuongeza mmoja zaidi na ambao utafikia tamati mwaka 2020 utamuingizia nyota huyo mwenye miaka 19 kitita cha £25,000 kama mshahara wake wa wiki.

    Baaada ya kusaini mkataba huo Rashford alikuwa na haya ya kusema "

    Nimefurahi kusaini mkataba mpya.Daima nimekuwa shabiki kipenzi wa Manchester United,kupata nafasi ya kucheza katika kikosi cha kwanza ni ndoto iliyotimia.Nashukuru kwa kupata nafasi ya kuonyesha kipaji changu.Kupata nafasi ya kucheza katika klabu kubwa duniani ina maana kubwa sana kwangu na kwa familia yangu.

    "I am delighted to have
    signed a new contract. I
    have always been a
    Manchester United fan,
    so to be playing in the
    first team really is a
    dream come true. I am
    grateful for having the
    chance to prove myself.
    To be able to play
    football at the biggest
    club in the world means
    everything to me and my
    family"



    Mwingine aliyesaini mkataba mpya ni mlinzi wa kushoto Cameron Borthwick-Jackson,19.

    Nimekulia Manchester United na nimefurahia kila dakika niliyokuwa hapa.Msimu uliopita ulikuwa mzuri sana kwangu na jambo jema sana kwangu na kwa familia yangu.Nitaendelea kujituma na kupokea ushauri toka kwa kocha na benchi lake la ufundi.

     “I have grown
    up at United and have enjoyed every minute of
    being here. Last season was an incredible
    experience to make my first team debut and a
    dream come true for myself and my family.
    I feel it stands me in good stead for
    continuing my development as a Manchester
    United player. I will continue to work hard and
    take advice from the manager and his
    coaching team to improve with every training
    session.”
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: WALICHOKISEMA MARCUS RASHFORD NA BORTHWICK BAADA YA KUSAINI MIKATABA MIPYA MAN UNITED Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top