728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, May 29, 2016

    YANGA SC KWENDA UTURUKI KUFUATA MAKALI YA SHIRIKISHO

    Dar es Salaam,Tanzania.

    MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara na Wawakilishi pekee wa michuano ya Afrika ya Vilabu kwa ukanda wa nchi za Afrika Mashariki,YANGA SC wametangaza kuwa wataweka kambi ya mazoezi nchini Uturuki ikiwa ni maalumu kwa ajili ya kujiwinda na mchezo wake wa kwanza wa kundi A wa hatua ya makundi ya kombe la Shirikisho dhidi ya MO Bejaia ya Algeria.

    Hii ni Mara ya pili kwa Yanga SC kwenda kuweka kambi nchini Uturuki.Mara ya kwanza ilikuwa ni mwaka 2013 katika kambi yake iliyokuwa Analya – Uturuki


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: YANGA SC KWENDA UTURUKI KUFUATA MAKALI YA SHIRIKISHO Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top