728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, November 09, 2015

    MANCHESTER UNITED KUMSAJILI AYOZE PEREZ MWEZI JANUARI

    Manchester, England.

    Klabu ya Manchester United imepania kukiimarisha kikosi chake kwa kumsajili mshambuliaji wa Newcastle United Muhispania Ayoze Perez hapo mwezi januari mwakani.

    Kutoka katika gazeti la The Guardian la leo jumatatu taarifa zinadai kuwa Manchester United imekuwa ikimfuatilia kwa ukaribu zaidi nyota huyo tangu alipojiunga na Newcastle United miezi 16 akitokea Tenerife kwa kitita cha £1.7m.

    Mbali ya Manchester United vilabu vingine vinavyomtaka Ayoze mwenge magoli matatu mpaka sasa ni Tottenham na Arsenal  

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MANCHESTER UNITED KUMSAJILI AYOZE PEREZ MWEZI JANUARI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top