728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, November 24, 2015

    LIGI YA MABINGWA ULAYA:ARSENAL,CHELSEA VIBARUANI LEO,MAN UNITED,CITY KESHO,RATIBA KAMILI IKO HAPA

    London,England.

    Ligi ya mabingwa barani Ulaya itaendelea tena leo jumanne na kesho jumatano kwa vigogo mbalimbali kushuka dimbani kusaka pointi tatu muhimu.

    Kutoka kundi F,Arsenal itakuwa na kibarua kigumu leo pale itakapowaalika Dynamo Zagreb katika dimba lake la Emirates huku Bayern Munich ikiwa nyumbani Allianz Arena itakuwa mwenyeji wa Olympiacos ya Ugiriki.

    Ratiba kamili ya michuano hiyo itakavyopigwa saa 10:45 iko kama ifuatavyo..

    Jumanne,Novemba 24/2015

    BATE Bor v Bayer Levkn
    Barcelona v Roma
    Arsenal v Dinamo Zagreb
    Bayern Mun v Olympiakos
    FC Porto v Dynamo Kiev
    M'bi Tel-Aviv v Chelsea
    Zenit St P v Valencia
    Lyon v KAA Gent

    Jumatano Novemba,25/2015

    Malmö FF v Paris St G
    Shakt Donsk v Real Madrid
    CSKA v VfL Wolfsburg
    Man Utd v PSV Eindhoven
    FC Astana v Benfica
    Atl Madrid v Galatasaray
    B M'gladbach v Sevilla
    Juventus v Man City



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: LIGI YA MABINGWA ULAYA:ARSENAL,CHELSEA VIBARUANI LEO,MAN UNITED,CITY KESHO,RATIBA KAMILI IKO HAPA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top