728x90 AdSpace

  • Latest News

      Tuesday, November 24, 2015

      LIGI YA MABINGWA ULAYA:ARSENAL,CHELSEA VIBARUANI LEO,MAN UNITED,CITY KESHO,RATIBA KAMILI IKO HAPA

      London,England.

      Ligi ya mabingwa barani Ulaya itaendelea tena leo jumanne na kesho jumatano kwa vigogo mbalimbali kushuka dimbani kusaka pointi tatu muhimu.

      Kutoka kundi F,Arsenal itakuwa na kibarua kigumu leo pale itakapowaalika Dynamo Zagreb katika dimba lake la Emirates huku Bayern Munich ikiwa nyumbani Allianz Arena itakuwa mwenyeji wa Olympiacos ya Ugiriki.

      Ratiba kamili ya michuano hiyo itakavyopigwa saa 10:45 iko kama ifuatavyo..

      Jumanne,Novemba 24/2015

      BATE Bor v Bayer Levkn
      Barcelona v Roma
      Arsenal v Dinamo Zagreb
      Bayern Mun v Olympiakos
      FC Porto v Dynamo Kiev
      M'bi Tel-Aviv v Chelsea
      Zenit St P v Valencia
      Lyon v KAA Gent

      Jumatano Novemba,25/2015

      Malmö FF v Paris St G
      Shakt Donsk v Real Madrid
      CSKA v VfL Wolfsburg
      Man Utd v PSV Eindhoven
      FC Astana v Benfica
      Atl Madrid v Galatasaray
      B M'gladbach v Sevilla
      Juventus v Man City



      • Blogger Comments
      • Facebook Comments

      0 comments:

      Post a Comment

      Item Reviewed: LIGI YA MABINGWA ULAYA:ARSENAL,CHELSEA VIBARUANI LEO,MAN UNITED,CITY KESHO,RATIBA KAMILI IKO HAPA Rating: 5 Reviewed By: Unknown