728x90 AdSpace

Friday, November 27, 2015

LIVERPOOL,SPURS ZATINGA 32 BORA EUROPA LIGI,CELTIC YATUPWA NJE

Liverpool,England.

Liverpool na Tottenham zimetinga hatu ya 32 ya michuano midogo ya Ulaya (Europa Ligi) baada ya usiku wa kuamkia leo kupata ushindi nyumbani na ugenini.

Liverpool iliyokuwa katika dimba lake la nyumbani la Anfield imeibuka na ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya Bordeaux ya Ufaransa.

Magoli yaliyoipa ushindi Liverpool yamefungwa na James Milner na Christian Benteke huku Bordeaux wakipata goli lao kupitia kwa Henry Saviet.

Katika mchezo mwingine Tottenham imeilaza Qarabag kwa goli 1-0 katika mchezo wa kundi J uliopigwa huko Azbeijan.Goli la Tottenham limefungwa na Harry Kane.

Wakati huohuo Celtic ikiwa nyumbani imetupwa nje ya michuano baada ya kukubali kichapo cha magoli 2-1 toka Ajax.

Matokeo yote ya Europa Ligi yako kama ifuatavyo......

Kundi A
Celtic 1-2 Ajax
Molde 0-2 Fenerbahçe

Kundi B
Rubin Kazan 2-0 FC Sion
Liverpool 2-1 Bordeaux

Kundi C
FK Krasnodar 1-0 Bor Dortmd
PAOK Salonika 0-0 FK Qabala

Kundi D
Club Brugge 0-1 Napoli
Legia Warsaw 1-0 FC Midtjylland

Kundi E
Dinamo Minsk 1-0 Viktoria Plzen
Villarreal 1-0 Rapid Vienna

Kundi F
Marseille 2-1 FC Groningen
Sporting Braga 2-1 Slovan Liberec

Kundi G
Lazio 3-1 Dnipro D'trovsk
Rosenborg 1-1 St Etienne

Kundi H
Besiktas 2-0 S'kbeu Korce
L'motiv Moscow 2-4 Sporting

Kundi I
Belenenses 0-0 Lech Poznan
FC Basel 2-2 Fiorentina

Kundi J
FK Qarabag 0-1 Tottenham
Monaco 0-2 Anderlecht

Kundi K
Schalke 1-0 Apoel Nic
Sparta Prague 1-0 Asteras Tripolis

Kundi L
AZ Alkmaar 1-2 P'zan Belgrade
FC Augsburg 2-3 Ath Bilbao

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: LIVERPOOL,SPURS ZATINGA 32 BORA EUROPA LIGI,CELTIC YATUPWA NJE Rating: 5 Reviewed By: Unknown