728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, November 27, 2015

    LIVERPOOL,SPURS ZATINGA 32 BORA EUROPA LIGI,CELTIC YATUPWA NJE

    Liverpool,England.

    Liverpool na Tottenham zimetinga hatu ya 32 ya michuano midogo ya Ulaya (Europa Ligi) baada ya usiku wa kuamkia leo kupata ushindi nyumbani na ugenini.

    Liverpool iliyokuwa katika dimba lake la nyumbani la Anfield imeibuka na ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya Bordeaux ya Ufaransa.

    Magoli yaliyoipa ushindi Liverpool yamefungwa na James Milner na Christian Benteke huku Bordeaux wakipata goli lao kupitia kwa Henry Saviet.

    Katika mchezo mwingine Tottenham imeilaza Qarabag kwa goli 1-0 katika mchezo wa kundi J uliopigwa huko Azbeijan.Goli la Tottenham limefungwa na Harry Kane.

    Wakati huohuo Celtic ikiwa nyumbani imetupwa nje ya michuano baada ya kukubali kichapo cha magoli 2-1 toka Ajax.

    Matokeo yote ya Europa Ligi yako kama ifuatavyo......

    Kundi A
    Celtic 1-2 Ajax
    Molde 0-2 Fenerbahçe

    Kundi B
    Rubin Kazan 2-0 FC Sion
    Liverpool 2-1 Bordeaux

    Kundi C
    FK Krasnodar 1-0 Bor Dortmd
    PAOK Salonika 0-0 FK Qabala

    Kundi D
    Club Brugge 0-1 Napoli
    Legia Warsaw 1-0 FC Midtjylland

    Kundi E
    Dinamo Minsk 1-0 Viktoria Plzen
    Villarreal 1-0 Rapid Vienna

    Kundi F
    Marseille 2-1 FC Groningen
    Sporting Braga 2-1 Slovan Liberec

    Kundi G
    Lazio 3-1 Dnipro D'trovsk
    Rosenborg 1-1 St Etienne

    Kundi H
    Besiktas 2-0 S'kbeu Korce
    L'motiv Moscow 2-4 Sporting

    Kundi I
    Belenenses 0-0 Lech Poznan
    FC Basel 2-2 Fiorentina

    Kundi J
    FK Qarabag 0-1 Tottenham
    Monaco 0-2 Anderlecht

    Kundi K
    Schalke 1-0 Apoel Nic
    Sparta Prague 1-0 Asteras Tripolis

    Kundi L
    AZ Alkmaar 1-2 P'zan Belgrade
    FC Augsburg 2-3 Ath Bilbao

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: LIVERPOOL,SPURS ZATINGA 32 BORA EUROPA LIGI,CELTIC YATUPWA NJE Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top