728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, November 17, 2015

    TISHIO LA UGAIDI:MTANANGE WA ENGLAND,UFARANSA WAIFANYA WEMBLEY IWE CHINI YA ULINZI MKALI

    London,England.


    Chama cha soka England kikishirikiana na Serikali ya nchi hiyo kimeimarisha ulinzi katika uwanja wa Wembley ambao leo jumanne utachezewa mchezo wa kimataifa wa kirafiki kati ya England na Ufaransa.

    FA imechukua tahadhari hiyo kufuatia jiji la Paris,Ufaransa siku tano zilizopita kushambuliwa na magaidi katika siku ambayo Ufaransa ilikuwa ikicheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Ujerumani na watu wapatao 129 kufariki dunia kutokana na mashambulizi hayo.

    Hivi ndivyo uwanja wa Wembley unavyoonekana baada ya ulinzi kuanza kuimarishwa ambapo mashabiki zaidi ya 70,000 wanatarajiwa kushuhudia mchezo huo.

    British armed police officers stand on duty at Wembley Stadium, in west London, on November 16, 2015, as France's players prepare to train on the pitch ahead of their international friendly football match against England

    Armed Police keep watch during the France training session at Wembley Stadium on November 16, 2015 in London
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: TISHIO LA UGAIDI:MTANANGE WA ENGLAND,UFARANSA WAIFANYA WEMBLEY IWE CHINI YA ULINZI MKALI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top