728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, November 29, 2015

    TYSON FURY AMTWANGA KLITSCHKO NA KUTWAA UBINGWA WA WBA, IBF na WBO


    Duesseldorf,Ujerumani.

    Tyson Fury amefanikiwa kutwaa ubingwa wa WBA, IBF na WBO baada ya kumtwanga Wladimir Klitschko katika mpambano wa raundi 12 uliopigwa leo huko Duesseldorf,Ujerumani.

    Majaji wawili walimpa Fury,27 ushindi wa ponti 115-112 na 116-111 na kuwa bondiwa wa kwanza kumchapa Klitschko,39 tangu mwaka 2004 alipochapwa na Lamon Brewster.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: TYSON FURY AMTWANGA KLITSCHKO NA KUTWAA UBINGWA WA WBA, IBF na WBO Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top