728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday, November 26, 2015

    BOXING:WIKENDI HII NI TYSON FURRY NA WLADIMIR KLITSCHKO

    Dusseldorf,Ujerumani.


    Wapenzi wa masumbwi jumamosi ya wiki hii watapata fursa nzuri ya kutazama na kujua nani ni mkali katika mchezo wa ngumi (boxing) pale mabondia wawili matata duniani Tyson Furry na Wladimir Klitschko watakapovaana katika pambano la ngumi la uzito wa juu duniani huko Dusseldorf,Ujerumani.
    Fury with trainer and uncle Peter (left) and dad John in Dusseldorf on Monday

    Furry katikati

    Mabondia hao wanatarajia kupimwa uzito siku ya ijumaa chini ya ulinzi mkali ambapo mashabiki hawataruhusiwa kutokana na tishio la ugaidi ambalo lilmeendelea kutishia amani siku za hivi karibuni hasa kufuatia shambulio la wiki mbili zilizopita huko Ufaransa.

    Klitschko's world titles will be on the line when the heavyweights clash on Saturday night

    Wladimir na Furry
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: BOXING:WIKENDI HII NI TYSON FURRY NA WLADIMIR KLITSCHKO Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top