728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, November 30, 2015

    ROBO FAINALI CECAFA KUANZA LEO

    Addis Ababa,Ethiopia.

    Michezo ya robo fainali ya michuano ya kombe
    la Cecafa Chalenji Cup itaanza kutimua vumbi
    leo huko Adis Ababa Ethiopia.

    Timu ya taifa ya Uganda the cranes itakuwa dimbani kukabiliana na wanyasa Malawi ,huku timu ya Tanzania bara maarufu kama
    The Kilimanjaro stars na Wenyeji Ethiopia.

    Robo fainali ya pili itapigwa hapo jumanne Desemba mosi kwa Sudan kusini kukipiga na
    Sudan,Rwanda wakipepetana na Kenya.

    Michezo ya nusu fainali itafanyika siku ya Alhamisi huku mchezo wa fainali na ule wa kumsaka mshindi wa tatu ikifanyika siku ya jumamaosi Desemba 5.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: ROBO FAINALI CECAFA KUANZA LEO Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top