728x90 AdSpace

Sunday, November 15, 2015

CHAN 2016:MAKUNDI YAPANGWA,WENYEJI RWANDA WATUPWA KUNDI LA KIFO,UGANDA YAKUTANISHWA NA MALI

Kigali,Rwanda.

Makundi ya michuano ya wachezaji wa ndani (CHAN 2016) yamepangwa leo jijini Kigali katika hoteli ya Serena kwa wenyeji Rwanda kupangwa kundi A pamoja na mataifa ya Morocco na Ivory Coast.

Michuano hiyo ambayo inafanyika kwa mara ya nne imepangwa kuanza kutimua vumbi lake nchini Rwanda kuanzia Januari 16 mpaka Februari 7 katika viwanja vya Amahoro, Butare, Nyamirambo na Gisenyi.

Makundi ya michuano hiyo ni kama ifuatavyo......

Group A: Rwanda. Gabon, Ivory Coast,Morocco

Group B: DR Congo, Ethiopia, Cameroun,Ethiopia

Group C: Tunisia, Nigeria,Niger, Guinea

Group D: Zimbabwe, Mali,Uganda, Zambia

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: CHAN 2016:MAKUNDI YAPANGWA,WENYEJI RWANDA WATUPWA KUNDI LA KIFO,UGANDA YAKUTANISHWA NA MALI Rating: 5 Reviewed By: Unknown