728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, November 15, 2015

    CHAN 2016:MAKUNDI YAPANGWA,WENYEJI RWANDA WATUPWA KUNDI LA KIFO,UGANDA YAKUTANISHWA NA MALI

    Kigali,Rwanda.

    Makundi ya michuano ya wachezaji wa ndani (CHAN 2016) yamepangwa leo jijini Kigali katika hoteli ya Serena kwa wenyeji Rwanda kupangwa kundi A pamoja na mataifa ya Morocco na Ivory Coast.

    Michuano hiyo ambayo inafanyika kwa mara ya nne imepangwa kuanza kutimua vumbi lake nchini Rwanda kuanzia Januari 16 mpaka Februari 7 katika viwanja vya Amahoro, Butare, Nyamirambo na Gisenyi.

    Makundi ya michuano hiyo ni kama ifuatavyo......

    Group A: Rwanda. Gabon, Ivory Coast,Morocco

    Group B: DR Congo, Ethiopia, Cameroun,Ethiopia

    Group C: Tunisia, Nigeria,Niger, Guinea

    Group D: Zimbabwe, Mali,Uganda, Zambia

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: CHAN 2016:MAKUNDI YAPANGWA,WENYEJI RWANDA WATUPWA KUNDI LA KIFO,UGANDA YAKUTANISHWA NA MALI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top