728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, November 25, 2015

    PSG YAMFUNGIA KAZI RONALDO,YAMUANDALIA MSHAHARA AMBAO AKIUKATAA DUNIA ITAMSHANGAA

    Paris,Ufaransa.

    Cristiano Ronaldo huenda akaweka historia ya kuwa mwanasoka wa kwanza kulipwa mshahara wa £500 milioni kwa wiki ikiwa atakubali kujiunga na PSG mwishoni mwa msimu huu.

    Taarifa kutoka nchini Ufaransa zinasema kuwa PSG imemtengea Ronaldo,30 ofa ya £250,000 kama mshahara wake wa wiki hii ni baada ya kukatwa kodi.[Sawa na £500,000 kabla ya kukatwa kodi] ili kuzima ndoto za nyota huyo Mreno kurejea katika klabu yake ya zamani ya Manchester United.

    PSG kupitia kwa Rais wake Nasser Al-Khelaifi inamuona Ronaldo kama mrithi sahihi wa nyota wake Zlatan Ibrahimovic ambaye anatarajiwa kuachana na klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu pindi mkataba wake utakapikuwa umefikia tamati.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: PSG YAMFUNGIA KAZI RONALDO,YAMUANDALIA MSHAHARA AMBAO AKIUKATAA DUNIA ITAMSHANGAA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top