728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, June 17, 2016

    MKENYA VICTOR WANYAMA ATUA SPURS

    London,England.

    TOTTENHAM imeshinda mbio za kumuwania kiungo wa Kenya, Victor Wanyama baada ya klabu yake ya Southampton kuibali ofa yake ya £11m.

    Wanyama,24,atajiunga na Tottenham wiki ijayo mara baada ya kukamilisha zoezi la upimaji wa afya na taratibu nyingine za uhamisho wa wachezaji.

    Wanyama alijiunga na Southampton mwaka 2013 kwa ada ya £10m akitokea Celtic ya Scotland.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MKENYA VICTOR WANYAMA ATUA SPURS Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top