728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday, June 23, 2016

    JENERETA LATIBUA YANGA,TP MAZEMBE KUCHEZA USIKU

    Dar es Salaam,Tanzania.

    MCHEZO kati ya Yanga Sn na TP Mazembe ya DRC Jumanne ijayo utachezwa kuanzia Saa 10:30 jioni
    Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

    Hayo yamesemwa na Mkuw wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga,
    Jerry Muroalipozungumza na Waandishi wa Habari leo mjini Dar es Salaam.

    Muro amesema kwamba mpango wa kuipeleka mechi hiyo usiku
    umeshindikanakutokana na Jenereta la Uwanja wa Taifa kuwa bovu kwa sasa.

    Yanga itawakaribisha Mazembe Jumanne ijayo Uwanja wa Taifa, Dar es
    Salaam huo ukiwamchezoo wa pili wa Kundi A.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: JENERETA LATIBUA YANGA,TP MAZEMBE KUCHEZA USIKU Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top