728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, June 27, 2016

    EURO 2016:ITALIA YAWANG'OA MABINGWA WATETEZI HISPANIA SASA USO KWA USO NA WAJERUMANI ROBO FAINALI

    Saint Denis,Ufaransa.

    ITALIA imetinga Robo Fainali ya Michuano ya Euro 2016 baada ya kuifunga waliokuwa mabingwa watetezi Hispania kwa mabao 2-0 katika Mchezo mkali wa hatua ya 16 Bora uliochezwa Katika Uwanja wa Stade de France,Saint Denis.

    Mabao yaliyoipa ushindi Italia katika Mchezo huo yamefungwa dakika za 33 na 91,wafungaji wakiwa ni Giorgio Chiellini na Graziano Pelle.

    Kwa matokeo hayo sasa Italia itavaana na Ujerumani katika mchezo wa Robo Fainali unaotarajiwa kuwa wa vuta ni kuvute.

     

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: EURO 2016:ITALIA YAWANG'OA MABINGWA WATETEZI HISPANIA SASA USO KWA USO NA WAJERUMANI ROBO FAINALI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top