728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, June 24, 2016

    DROO YA KOMBE LA DUNIA KWA AFRIKA YAPANGWA,NIGERIA,ALGERIA NA CAMEROON ZATIWA KAPU MOJA

    Cairo,Misri.

    DROO ya Upangaji wa Makundi kwa ajili ya Kufuzu Fainali za Kombe la Dunia la mwaka 2018 nchini Urusi kwa timu za Afrika imefanyika Leo jijini Cairo,nchini Misri.

    Katika droo hiyo timu 20 za mataifa mbalimbali zimegawanywa katika Makundi Matano ya timu nne nne huku Timu moja itakayokuwa na alama nyingi toka kila Kundi ndiyo itakazofuzu Kombe la Dunia.

    Wadadisi wa Masuala ya Kimichezo wanaliona Kundi B kuwa ndiyo litakalokuwa gumu zaidi kwani limejumuisha Timu za Zambia,Algeria, Cameroon na Nigeria.

    MAKUNDI YAKO KAMA IFUATAVYO

    Kundi A

    Tunisia
    Libya
    DR Congo
    Guinea

    Kundi B

    Zambia
    Algeria
    Nigeria
    Cameroon

    Kundi C

    Gabon
    Mali
    Ivory Coast
    Morocco

    Kundi D

    Senegal
    South Africa
    Burkina Faso
    Cape Verde

    Kundi E

    Ghana
    Egypt
    Congo
    Uganda

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: DROO YA KOMBE LA DUNIA KWA AFRIKA YAPANGWA,NIGERIA,ALGERIA NA CAMEROON ZATIWA KAPU MOJA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top