728x90 AdSpace

Friday, June 24, 2016

DROO YA KOMBE LA DUNIA KWA AFRIKA YAPANGWA,NIGERIA,ALGERIA NA CAMEROON ZATIWA KAPU MOJA

Cairo,Misri.

DROO ya Upangaji wa Makundi kwa ajili ya Kufuzu Fainali za Kombe la Dunia la mwaka 2018 nchini Urusi kwa timu za Afrika imefanyika Leo jijini Cairo,nchini Misri.

Katika droo hiyo timu 20 za mataifa mbalimbali zimegawanywa katika Makundi Matano ya timu nne nne huku Timu moja itakayokuwa na alama nyingi toka kila Kundi ndiyo itakazofuzu Kombe la Dunia.

Wadadisi wa Masuala ya Kimichezo wanaliona Kundi B kuwa ndiyo litakalokuwa gumu zaidi kwani limejumuisha Timu za Zambia,Algeria, Cameroon na Nigeria.

MAKUNDI YAKO KAMA IFUATAVYO

Kundi A

Tunisia
Libya
DR Congo
Guinea

Kundi B

Zambia
Algeria
Nigeria
Cameroon

Kundi C

Gabon
Mali
Ivory Coast
Morocco

Kundi D

Senegal
South Africa
Burkina Faso
Cape Verde

Kundi E

Ghana
Egypt
Congo
Uganda

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: DROO YA KOMBE LA DUNIA KWA AFRIKA YAPANGWA,NIGERIA,ALGERIA NA CAMEROON ZATIWA KAPU MOJA Rating: 5 Reviewed By: Unknown