728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, May 07, 2016

    MABINGWA LECEISTER CITY WAICHAPA EVERTON 3-1,VARDY AKING’AA KING POWER



    Leceister,England.


    Mabingwa wapya wa Ligi Kuu England Leceister City wameendelea kuonyesha kweli walistahili kitu msimu huu baada ya usiku wa leo wakiwa nyumbani King Power kuichapa Everton kwa mabao jumla ya 3-1.

    Jamie Vardy alianza kuifungia Leceister City dakika ya 5  na kuongeza la pili dakika ya 65 huku Andy King akipiga la tatu dakika ya 33.Wageni Everton wao wamepata bao lao kupitia kwa winga wao Kevin Mirallas.
     Jamie Vardy has 24 Premier League goals this season, only Harry Kane has more.
    Kwa mabao hayo mawili ya leo Vardy amefikisha mabao 24 na kuifikia rekodi ya mkongwe Gary Lineker ya kuifungia Leceister City mabao 24 katika msimu mmoja wa Ligi Kuu England.Katika mbio za kuwania tuzo ya mfungaji bora wa msimu Vardy yuko nafasi ya pili nyuma ya Harry Kane mwenye mabao 25 mpaka sasa.

    MATOKEO MENGINE
    Sunderland 3-2 Chelsea
    Westham 1-4 Swansea City
    Crystal Palace 2-1 Stoke City
    Aston Villa 0-0 Newcastle
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MABINGWA LECEISTER CITY WAICHAPA EVERTON 3-1,VARDY AKING’AA KING POWER Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top