728x90 AdSpace

Sunday, April 24, 2016

JUMA ABDUL ANOGEWA YANGA AONGEZA MIAKA MIWILI ZAIDI KUKIPIGA JANGWANI

Dar es salaam,Tanzania.

Mlinzi mahiri wa kulia wa Tanzania Juma Abdul "Dani Alves" amesaini mkataba mpya wa miaka miwili wa kuendelea kuitumikia klabu yake ya Yanga SC ya jijini Dar es salaam.

Mkataba huo mpya uliosainiwa hivi karibuni utamfanya Abdul,24 aendelee kuwa mali ya Yanga SC mpaka mwaka 2018.Abdul alijiunga na Yanga SC mwaka 2012 akitokea MtibwaSugar ya Manungu,Morogoro.



  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: JUMA ABDUL ANOGEWA YANGA AONGEZA MIAKA MIWILI ZAIDI KUKIPIGA JANGWANI Rating: 5 Reviewed By: Unknown